Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameshangazwa na kipaji cha mtoto mwenye ulemavu wa macho huko nchini Rwanda baada ya mtoto huyo kuimba nyimbo zake mbili ile hali hata hajui lugha ya kiswahili.
Diamond Platnumz ambaye yupo nchini Rwanda kwa ziara yake binafsi ameshangazwa na mtoto huyo kwenye kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu wa macho (Vipofu) cha Jordan Foundation huko Gatsata, Jijini Kigali.
0 comments:
Post a Comment