Maelfu ya watu wamehudhuria katika mazishi ya mwanafunzi aliyeuawa kwa kupigwa risasi Ijumaa ya wiki iliyopita, Akwelina Akwilini Bafta yaliyofanyika katika kijiji cha Kitowo kata ya Marangu, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro. Picha kwa hisani ya BongoFive
Friday, 23 February 2018
Maelfu wamlilia Akwelina Akwelin Rombo
Maelfu ya watu wamehudhuria katika mazishi ya mwanafunzi aliyeuawa kwa kupigwa risasi Ijumaa ya wiki iliyopita, Akwelina Akwilini Bafta yaliyofanyika katika kijiji cha Kitowo kata ya Marangu, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro. Picha kwa hisani ya BongoFive
0 comments:
Post a Comment