Jumanne Chama cha Kikomunisti cha Afrika Kusini SACP kilitoa taarifa ikisema wamepata habari kwamba rais Zuma anataka kumfuta kazi makamu wake. Pia chama hicho kimesema, rais Zuma anajaribu kutumia wapiganaji wa jadi wa kabila lake la Zulu, taarifa ambazo rais Zuma pia amezikana.
Wednesday, 7 February 2018
Home
/
International news
/
Kimataifa
/
Rais wa Afrika Kusini akanusha kumweka kikaangoni Makamu wake
Rais wa Afrika Kusini akanusha kumweka kikaangoni Makamu wake
Jumanne Chama cha Kikomunisti cha Afrika Kusini SACP kilitoa taarifa ikisema wamepata habari kwamba rais Zuma anataka kumfuta kazi makamu wake. Pia chama hicho kimesema, rais Zuma anajaribu kutumia wapiganaji wa jadi wa kabila lake la Zulu, taarifa ambazo rais Zuma pia amezikana.
0 comments:
Post a Comment