Mamlaka nchini
Nigeria imesema imeongeza nguvu ya ndege za kivita ili kuweza kuwasaka
wanafunzi wasichana waliotekwa Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
Serikali
inasema takriban wasichana 110 hawajulikani walipo baada ya wanamgambo
wa kiislam kuwateka katika shule yao iliyopo Dapchi.Mapema serikali ya kijiji hicho ilililaumu jeshi kwa kushindwa kuchukua hatua hata baada ya kupewa taarifa.
0 comments:
Post a Comment