Bingwa wa mashindano ya
Australia kwa upande wanawake, Caroline Wozniacki wa Denmark ameendeleza
wimbi la Ushindi katika tennis, baada ya kumfunga Anastasta Potapova wa
Urusi katika mechi ya raundi ya kwanza ya mashindano ya St. Petersburg.
Potapova ambaye ni bingwa wa mwaka 2016 katika mashindano ya vijana ya Wimbledon, hakuweza kumzuia Carol kumfunga kwa seti ya 2-0 yenye alama 6-3 6-1.
Kwa ushindi huo, Wozniacki atakutana na mrusi mwingine Daria Kasatkina katika raundi ya pili.
Potapova ambaye ni bingwa wa mwaka 2016 katika mashindano ya vijana ya Wimbledon, hakuweza kumzuia Carol kumfunga kwa seti ya 2-0 yenye alama 6-3 6-1.
Kwa ushindi huo, Wozniacki atakutana na mrusi mwingine Daria Kasatkina katika raundi ya pili.
0 comments:
Post a Comment