Friday 2 March 2018

Hamilton afanya majaribio na gari mpya ya mashindano ya Formula 1


Bingwa wa mbio za magari duniani Lewis Hamilton amesema anaamini kuwa gari mpya aina Mercedes Benz W09 aliyoifanyia majaribio itamfaa zaidi katika mashindano baada ya kuijaribu gari hiyo katika kipindi hiki cha baridi. Hamilton amesema sasa yuko tayari kwenda kushindana kwenye mashindano yam bio za magari yatakayofanyika nchini Australia.

0 comments:

Post a Comment