Mshambuliaji wa Manchester United
ya England Anthony Martial anayewindwa na vilabu vya FC Bayern Munich ya
Ujerumani na Juventus ya Italia jana ameripotiwa kugoma kuongeza
mkataba na Man United.
Anthony Martial ameripotiwa kugoma kusaini mkataba mpya wa miaka
mitano wa kuendelea kuitumikia Man United kwa madai ya kukosa nafasi ya
kucheza, hivyo ameshinikiza auzwe ili akapate nafasi ya kucheza
0 comments:
Post a Comment