Friday 18 May 2018

Uingereza kukienzi kiatu cha Mo Salah kwenye Makumbusho



Makumbusho kubwa nchini Uingereza imeamua kuviweka Viatu vya mwanasoka machachari Mohammed Salah katika makumbusho ambayo imesheheni vitu vya Misri ambapo ndipo anakotoka mwanasoka huyo anayekipiga katika klabu ya Liverpool. 🇪🇬

0 comments:

Post a Comment