Monday 9 July 2018

Uturuki kuwachukulia hatua wasaliti wa taifa


Serikali yatoa amri mpya ya kuwafukukuza kazi takribani watumishi wa umma 18,500
Amri hiyo itawagusa Askari wa Jeshi la Polisi, Wanajeshi na watumishi wa taasisi za elimu

Kwa mujibu wa taarifa rasmi aliyotolewa katika gazeti la Serikali imeeleza kuwa watumishi 18,632 idadi inayojumuisha maafisa wa polisi 8,998

Hatua hizi zinachukuliwa ikiwa ni katika kusafisa Serikali baada ya taifa hilo kunusurika katika mapinduzi yaliyopangwa na kukwama mnamo mwezi Julai 2016

0 comments:

Post a Comment