Mkurugenzi wa fedha na Mipango katika hospitali ya Rufaa Bugando, Mtawa Suzan Bathlomeo amefariki dunia baada ya kujirusha kutoka ghorofani
Mtawa huyo alijirusha muda mfupi baada ya kutoka kusali misa ya saa 12:00 asubuhi, leo Jumanne Agosti 28, 2018
Kamanda wa Polisi Mkoani humo, Jonathan Shana amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema taarifa kamili itatolewa na Polisi hapo baadaye
.
0 comments:
Post a Comment