Mahakama ya kidini(Kiislamu) nchini Malyasia imewahukumu Wanawake wawili kuchapwa fimbo 6 kila mmoja kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
-
Adhabu hiyo imetekelezwa kwenye Mahakama ya Sharia iliyopo katika Jimbo la Terengganu huku takribani Watu 100 wakishuhudia
-
Watetezi wa Haki za Binadamu wamelaani vikali kitendo hicho na kukiita ni cha kikatili na cha kidhalilishaji
-
Hata hivyo kwa upande wa Mahakama umetetea adhabu hiyo na kuongeza kuwa imetolewa hadharani ili iwe onyo na fundisho kwa wengine
0 comments:
Post a Comment