Tuesday 4 September 2018

WACHAPWA VIBOKO KWA KUJIHUSISHA NA USAGAJI

  •  
    Mahakama ya kidini(Kiislamu) nchini Malyasia imewahukumu Wanawake wawili kuchapwa fimbo 6 kila mmoja kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja
    -
    Adhabu hiyo imetekelezwa kwenye Mahakama ya Sharia iliyopo katika Jimbo la Terengganu huku takribani Watu 100 wakishuhudia
    -
    Watetezi wa Haki za Binadamu wamelaani vikali kitendo hicho na kukiita ni cha kikatili na cha kidhalilishaji
    -
    Hata hivyo kwa upande wa Mahakama umetetea adhabu hiyo na kuongeza kuwa imetolewa hadharani ili iwe onyo na fundisho kwa wengine

0 comments:

Post a Comment