Amethibitisha kufanya kazi na Rihanna nakusema tayari ameshatuma nyimbo kadha na kambi ya Rihanna imechagua mmoja ambayo wameipenda na Kazi imeshaanza
Dj Black Coffee ameendelea kusema kabla JAY-Z hajatoa album yake ya 4.44 alitaka kufanya naye kazi, Dj Black Coffee anasema “Swizz Beatz alinicheki kuhusu JAY-Z kutaka nifanye naye wimbo,Sababu ya Shauku kubwa nilishindwa kufanya wimbo huo, sikulala usiku kucha, nadhani Sikuwa tayari kwaajili ya kufanya wimbo na JAY-Z”
0 comments:
Post a Comment