Mbeya amabayo mpaka sasa imeshanyakua ubingwa mara tatu mfululizo kwa timu hiyo ambayo kwenye mechi ya nusu fainali iliwafunga timu yenye historia ndefu ya Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa mwenyekiti wa chama cha mpira wa kikapu mkoa wa mbeya, Mboka Mwambusi, maandalizi pamoja na nidhamu za wachezaji ndiyo siri kubwa ya mafanikio ya timu hiyo katika misimu mitatu hii.
Ushindi wa pili katika Taifa Cup umekwenda kwa Songwe ukifatiwa na Dar es salaam kwa upande wa wanaume huku kwa upande wanawake ushindi umebaki kwa Dar es salaam,Mbeya(2nd)na Mjini Magharibi kutoka Zanzibar (3rd).
(MVP) Imekwenda kwa Musa Chacha(MBEYA) nafasi ya mkabaji bora imechukuliwa na Murshidi Mudricat(DSM) na katika naasi ya mfungaji bora imenyakuliwa na Baraka Sadick(SONGWE).
0 comments:
Post a Comment