Tuesday 2 January 2018

CNN yasema uongozi wa Trump umefanya wasanii Marekani kuimba siasa


CNN  wamesema kuwa Uongozi wa Donald Trump umefanya wasanii wengi zaidi nchini Marekani kutunga nyimbo zenye kupinga uongozi wake tangu aingie madarakani mwaka 2017.

Kituo hichi kikubwa cha habari kinasema kumekuwa na muongezeko wa kazi za Conscious Rap kutoka kwa wasanii wakubwa Marekani huku jamii ikiziunga mkono kazi za sanaa na kuonyesha kutaka kusikilizwa kwa hoja zao na hitaji la mabadiliko kwa jamii ya watu weusi nchini Marekani.
Wasanii ambao wamo katika oodha ya  CNN ni pamoja na,
  •  Jay-Z >Kupitia album yake ya 4:44 katika nyimbo kama “The Story of O.J.”
  •  Eminem> Alifanya free style kali kumpinga Donald Trump na kusema hataki kuwa na mashabiki wanaounga mkono Serikali yake katika tuzo za HipHop za BET
  •  Kendrick Lamar
  • Rapsody
  •  Joey Bada$$
  •  J. Cole
  •  Vic Mensa

0 comments:

Post a Comment