Mbali na klabu kuimarisha safu za
makocha, baadhi ya vilabu vimekuwa vinapanga kutumia fursa hii
kuimarisha vikosi vyao. Kwa sasa klabu ya Machester United inafanya
mazungumzo na klabu ya Toettnham Hotspur kumsajili Toby Alderwiereld
mchezaji kutoka Uholanzi, ambaye ameshindwa kufikia makubaliano na klabu
yake kuhusu vipengele vya maktaba mpya. Hata hivyo nia ya Man United
inaonekana kuwa matatani kutokana na dau kubwa lililodaiwa na klabu ya
Tottenham.
0 comments:
Post a Comment