Watu sita wamejeruhiwa baada ya Ndege waliyokuwa wakisafiria kuangua na kupasuka vipande viwili katika nchi ya Honduras
Mpaka sasa haijafahamika ni abiria wangapi walikuwa ndani ya ndege hiyo ya Gulfstream G200
Mapema mwaka huu ndege ya shirika la TACA ilianguka eneo hilo hilo ambapo watu watano walifariki dunia
Ndege hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Mji wa Austin, Texas nchini Marekani
0 comments:
Post a Comment