Huko nchini Marekani katika jimbo la Kansas Mhudumu wa Kike wa Maabara mwenye umri wa miaka 26 amefikishwa Mahakamani kwa kosa la kufanya ngono na maiti
Mwanamke huyo alitakiwa kuzifanyia uchunguzi maiti hizo lakini imethibitika kuwa alishiriki nazo ngono na hatimaye akapata ujauzito
Hata hivyo, Marekani haina sheria inayokataza kufanya ngono na maiti, hivyo mwanamke huyo atashitakiwa kwa shambulizi dhidi ya maiti
Wataalamu wa mambo ya akili wamedai kwamba mwanamke huyo anasumbuliwa na tatizo la kisaikolojia katika masuala ya ngono.
0 comments:
Post a Comment