Baada ya kutangaza kustaafu Kocha Arsene Wenger wa klabu ya
Arsenal amesema ana ofa nyingi mezani kwake kutoka vilabu tofauti
zinazomtaka. Amesema hakutarajia kupata ofa hizo baada ya kutangaza
kuondoka Arsenal mwishoni mwa msimu huu.
Kocha huyo aliyeinoa Arsenal kwa miaka 22 anatarajiwa kubaki katika
nafasi ya uongozi ndani ya klabu hiyo aliyojiunga nayo mwaka 1996.
Wenger atakuwa kwenye benchi kuiongoza Arsenal katika mchi zake 2 za mwisho dhidi ya Leister City na Hudderfield Town.
Wenger atakuwa kwenye benchi kuiongoza Arsenal katika mchi zake 2 za mwisho dhidi ya Leister City na Hudderfield Town.
0 comments:
Post a Comment