Dereva Sebastian Vettel wa
Ujerumani na timu ya Ferari jana ameibuka mshindi wa kwanza wa
mashindano ya mbio za magari ya mwendokasi za Uingereza, jambo ambalo
linamfanya kuwa wa kwanza kwenye msimamo wa viwango dhidi ya madereva
wenzake msimu.
Huu ni ushindi wa nne kwa Vettel kati ya mbio kumi ambazo zimekwisha kufanyika hadi sasa kwa mwaka huu, na kumfanya afikishe alama 171 ambazo ni faida kuelekea ubingwa wa jumla kwa mwaka huu.
Mshindi wa pili kwenye mbio zilizofanyika mjini Northampshire alikuwa mwingereza Lewis Hamilton wa timu ya Mercedes na mshindi wa tatu akiibuka Kimi Raikonnen wa Finland na timu ya Ferrari.
Huu ni ushindi wa nne kwa Vettel kati ya mbio kumi ambazo zimekwisha kufanyika hadi sasa kwa mwaka huu, na kumfanya afikishe alama 171 ambazo ni faida kuelekea ubingwa wa jumla kwa mwaka huu.
Mshindi wa pili kwenye mbio zilizofanyika mjini Northampshire alikuwa mwingereza Lewis Hamilton wa timu ya Mercedes na mshindi wa tatu akiibuka Kimi Raikonnen wa Finland na timu ya Ferrari.
0 comments:
Post a Comment