Mwanadada Johana Konta wa
Uingereza amefanikiwa kufuzu raundi ya nne ya mashindano ya tennis ya
Miami nchini Marekani baada ya kumshinda Elise Mertens wa Ubelgiji kwa
seti ya mbili sifuri yenye alama 6-2 6-1.
Katika raundi ya nne, Konta ambaye ni bingwa mtetezi wa mashindano hayo, atakutana na mchezaji namba nane kwa viwango vya ubora duniani Venus Williams ambaye amefuzu baada ya kumfunga Kiki Bertens wa Uholanzi.
Katika raundi ya nne, Konta ambaye ni bingwa mtetezi wa mashindano hayo, atakutana na mchezaji namba nane kwa viwango vya ubora duniani Venus Williams ambaye amefuzu baada ya kumfunga Kiki Bertens wa Uholanzi.
0 comments:
Post a Comment