Duka moja la vitabu huko Newton, Australia linatumia utaratibu wa kuficha cover za vitabu ili wanunuzi wasi “Judge a book by it’s cover” kabla ya kununua
Duka la Elizabeth Bookshop, hufunika cover za vitabu na karatasi ambalo limeandikwa jina la kitabu na jina la mwandishi tu, kila kitabu huwekewa tag iliyoandikwa “A blind date with a book”
Wanaamini watu wengine wanaweza kuacha kununua vitabu vizuri tu kwasababu ya cover za vitabu hivyo
0 comments:
Post a Comment