Rapa XXXTENTACION afariki dunia usiku wa kuamkia wa leo.
Alivamiwa mapema leo na jamaa aliyemshambulia kwa risasi zilizopelekea kifo chake (Soma post Taarifa zinasema bado mtuhumiwa hajakamatwa/ hajajulikana lakini polisi wanaendelea na uchunguzi, #Xxxtenatacion alikuwa na umri wa miaka 20
0 comments:
Post a Comment