Bw. Abadi amesema, Iraq inahitaji kuendelea kulinda mafanikio yaliyopatikana katika mapambano dhidi ya kundi la IS, kuondoa itikadi ya ugaidi, na kuwakamata watu wenye msimamo mkali.
Kwa upande wake, Bw. Stoltenberg amesema NATO itaendelea kuiunga mkono Iraq na kufanya ushirikiano katika mafunzo ya askari na ujenzi wa vyuo vya kijeshi.
0 comments:
Post a Comment